Babake Spika wa Seneti Amason Kingi Afariki Dunia: “Nimevunjika Moyo Kabisa”
Familia ya Spika wa Bunge la Seneti Amason Kingi imetumbukia kwenye majonzi kufuatia kifo cha babake Mzee Kingi Mwaruwa Msemaji huyo alibainisha kuwa walicheza kwa furaha na babake Siku ya Krismasi bila kujua kwamba itakuwa mara yao ya mwisho kucheza dansi Rais William Ruto, Mawaziri Hassan Joho na Kipchumba Murkomen pamoja na viongozi wengine pia…