Serikali yaonya dhidi ya uchochezi – Kenya News Agency
Kaimu kamishina wa kaunti ya Elgeyo Marakwet Julius Maiyo amewaonya watu wanaochochea vurugu kati ya wananchi katika eneo la Kamoingon kaunti ndogo ya Keiyo Kaskazini kuwa watachukuliwa hatua kali za kisheria. Hili linafuatia tukio ambapo watu wawili walijeruhiwa kwa mishale huku mmoja akikatwa kwa panga kutokana na mzozo…